Baada ya lile bifu la siku nyingi kati ya rapa kutoka mwanza Fareed kubanda a.k.a Fid Q na msanii mwenzake kutoka lebel ya Kiraka Rado,hatim...
Njia Mbili(2) Rahisi Unazoweza Kuzitumia Kutengeneza Kipato Kupitia Mtandao Wa Intaneti.
Mtandao wa intaneti umeleta mapinduzi makubwa sana kwenye kila eneo la maisha yetu. Mtandao huu umefanya maisha kuwa rahisi kwa kutoa huduma...
Jinsi Ya Kuepuka Matumizi Mabaya Ya Mtandao Wa Intaneti Na Kutumia Vizuri Muda Wako Kujiongezea Kipato.
Kama kuna mapinduzi ambayo kizazi hiki kinayashuhudia kwa macho basi ni mapinduzi ya kiteknolojia hasa kwenye kompyuta na mtandao wa intanet...
Filamu ya Lulu Ni Noma ni ya kwanza ya Kitanzania kuuzwa kidigitali
Lulu ni Msanii bora wa kike Tuzo za ZIFF 2013 na mshindi wa Tuzo ya Filamu Bora Afrika Mashariki mapema mwaka huu huko Lagos Nigeria katika ...
Mkenya aliyekamatwa Tanzania afungwa miaka 20
Mahakama moja nchini Kenya imemfunga jela Feisal Mohammed, anayetuhumiwa kwa ulanguzi wa pembe za ndovu, kifungo cha miaka 20 gerezani. ...
Mwanamume apandikizwa mikono Uingereza
King alipoteza mikono yake ajalini miaka mitatu iliyopita Uingereza imefanikiwa kufanya upasuaji na kumpandikiza mgonjwa mikono ya mtu m...
Mzozo kuhusu shamba la Osama Pakistan
Jeshi linataka shamba hilo ligeuzwe kuwa makaburi Mzozo umezuka nchini Pakistan kuhusu shamba ambapo kiongozi wa zamani wa mtandao wa al...
Unywaji pombe unachangia saratani
Wataalamu wanasema hakuna kiwango salama cha unywaji pombe Utafiti mpya imedokeza kwamba kuna uhusiano mkubwa baina ya unywaji pombe na...
Magari ya umeme yaanza kazi Kenya
Bei ya gari aina ya Nissan Leaf ni dola 10,000 za Kimarekani Magari yanayotumia nguvu za umeme yameanza kuuzwa nchini Kenya kwa mara ya kwa...
Wavulana wavalia sketi shuleni Uingereza
Wavulana wanne katika shule moja nchini Uingereza wamefika shuleni wakiwa wamevalia sketi kulalamikia hatua ya mwalimu kuwaadhibu kwa kuvali...
Koffi Olomide akamatwa na kuzuiliwa Nairobi
Koffi Olomide alionekana kumpiga teke mwanamke uwanja wa ndege Nairobi-Kenya Mwanamuziki mashuhuri kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Con...
Neno La Biblia Kuhusu Ngono ya Watu wa Jinsia Moja, YAANI MASHOGA NA WASAGAJI
WATU katika nchi nyingi wana maoni yanayotofautiana kuhusu ndoa za watu wa jinsia moja. Mwaka wa 2015, Mahakama Kuu nchini Marekani ilitanga...
Neno Kwa Binti-Ngono
DADA ZANGU NI VIZURI KAMA MKIYAFAHAMU HAYA..! 👉Mwili wako sio Maonesho, kila mwanaume auone. 👉Mwili wako sio Mdoli kila mwanaume Auch...
Jinsi Kuepuka Umaskini.
Kila mmoja wetu kwa namna moja ama nyingine kuna changamoto ambazo zinamkabili kuweza kupata mafanikio zaidi. Na hizo changamoto ndizo ambaz...
Watu wazima hutumia njia za watoto kurubuni wenzao
Habari rafiki? Naamini uko vizuri sana na unaendelea kuweka juhudi kubwa kwenye maisha yako na kwenye kile unachofanya ili uweze kupata mat...
Haya ndo maamuzi ya Serikali kuhusu wanachuo waliosimamishwa UDOM
Wanafunzi elfu saba (7800) waliokuwa wamejiunga na chuo kikuu cha Dodoma Tanzania ni wanafunzi 382 pekee wenye sifa zitakazowaruhusu kure...
Donald Trump apitishishwa rasmi na chama cha Republican kugombea urais Marekani
Donald Trump hatimaye ateuliwa sasa kuwa mgombea rasmi wa urais kwa tiketi ya chama cha Republican, uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi...
Stereo asimulia alivyomgeuza Ben Pol kutoka kuwa rapper hadi kuwa muimbaji
Kama isingekuwa Stereo waliyesoma shule moja, kusingekuwa na hit single kama ‘Moyo Mashine za zingine. “Ben alikuwa anarap,” Stereo amei...
Kim Kardashian alipwa shilingi bilioni 1.5 kupiga selfie na mastaa hawa wa Instagram
Wakati ambapo warembo wengi duniani hupiga selfie kuwafurahisha tu followers wao kwenye mitandao ya kijamii, Kim Kardashian anaingiza mkwan...
10 kizimbani pembe za ndovu za bil. 4.6/-
WATU 10 wakiwemo raia wawili wa Guinea wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na mtandao wa uhalifu na kukutwa n...
Jela maisha kwa kunajisi mwanafunzi
MKAZI wa Kijiji cha Rebu Kata ya Turwa, Tarafa ya Inchage wilayani Tarime mkoani Mara, Vedastus Nkwaya (44) kwa jina maarufu Kokoliko, ame...
TCU kutoa mwongozo kujiunga vyuo vikuu
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inatarajia kutoa mwongozo wa vigezo vya kujiunga na chuo kikuu kwa mwaka wa masomo wa 2016/17 muda wowot...
Wizara zote zapewa EFDs
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa mashine 130 za kielektroniki za kutoa risiti (EFDs) kwa Makatibu Wakuu 25 wa wizara zote nchini kw...
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA NA UALIMU 2016
Matokeo Ya Kidato Cha Sita(ACSEE) Na Ualimu (DSEE Na GATCE) 2016 Yametangazwa.....Bofya hapa Kuyaangalia Matokeo ya Kida...
Characteristics of a Quality Disc Jockey 'DJ'
When brides and grooms are interviewing prospective wedding reception disc-jockeys there are a number of certain qualities that they should ...
Hakuna Nguvu Inayopotea, Endelea Kuweka Juhudi.
Ukichukua barafu ambayo ina nyzi joto labda –10c, ukiweka joto ili barafu hii iyeyuke haitayeyuka hapo hapo. Utaweka joto na barafu itaendel...
Chanzo Kikuu Cha Maumivu Ya Ndani Tunayopitia Kwenye Maisha Yetu.
Habari mpendwa rafiki na msomaji wa Dakika Za Madini? Natumaini unaendelea vyema katika kuboresha maisha yako. Karibu katika makala yetu ya ...
Watu Muhimu Sana Wanaoleta Mabadiliko Katika Jamii Yetu.
Habari ndugu Rafiki na Msomaji wa Dakika Za Madini? Natumaini hujambo na karibu katika makala yetu ya leo. Kila siku ni siku mpya kwako hivy...
Tabia zinazowatofautisha wafanyabiashara wanaofanikiwa na wanaoshindwa.
Biashara siyo kuuza na kununua pekee, wengi wanaoingia kwenye biashara kwa mtazamo huu wa kuuza na kununua huwa hawafiki mbali. Na wala bias...
Jaji amuomba radhi Donald Trump
Jaji Ginsburg amesema anajutia aliyoyasema Jaji mmoja wa Mahakama ya Juu zaidi ya Marekani ameomba radhi kwa matamshi yake ya hadharan...
Nyimbo kumi bora zaidi kwa harusi duniani
Ed Sheeran, 25, akiwa na mashabiki Wimbo wa mapenzi wa mwanamuziki wa Uingereza Ed Sheeran unaongoza kwa kupendwa sana na watu kama ...
MR.NICE KUSHUKIWA NEEMA YA MKWANJA
Msanii mkongwe wa muziki nchini, Mr Nice amepata shavu nchini Kenya la kuingia mtakaba na kampuni ya Soko Bay INT LTD ya nchini Kenya kwa aj...
Polisi wamhoji Gwajima, upelelezi waendelea
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeshamhoji Askofu Mkuu wa Kanisa la U...
Viongozi wa vijana Chadema wapandishwa kizimbani
Viongozi wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) wakiwa ndani ya Mahakama ya Wilaya ya Dodoma wakisubiri kusomewa mashitaka yao VIONG...
Watumishi hewa wakwamisha ajira 71,496
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejim...
TCAA kununua rada nne
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari (kushoto) MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesem...
Brazil kutoa fedha kuimarisha ulinzi
Brazil itatoa fedha za ziada, dola milioni 24 kwa ajili ya jeshi kuimarisha ulinzi kuelekea mashindano ya Olympiki, Rio de Janeiro ...
ICC kuzishitaki Uganda na Djibouti
Bashir alisafiri kwenda Uganda na Djibouti mwaka huu. Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imesema itazishitaki serikali za...
Amnesty International yailaumu Misri
Shirika la Amnesty International imezituhumu Mamlaka nchini Misri kuhusika na kupotea kwa watu, kwa lengo la kutishia upinzani.
Juhudi za uokoaji zaendela Italia
Baadhi ya majeruhi wapo katika hali mbaya na hospitali za eneo hilo zinahitaji msaada zaidi wa damu. Juhudi za uokoaji zinaendelea kusin...
Museveni aketi barabarani kupokea simu
Bw Museveni alipokea simu kando ya barabara wilaya ya Isingiro, karibu na mpaka wa Uganda na Tanzania Je ushawahi kupokea simu ya dhar...
Unyonyaji kidole unafaida kwa watoto- Utafiti
Ripoti mpya inasema watoto wanaonyonya vidole au kung'ata kucha zao kwa meno huenda wasipate matatizo ya kuathirika kutokana na mazi...
Mabaki ya Wafilisti yapatikana Israel
Watafiti wa mambo ya kale nchini Israel wamegundua makaburi ya kwanza ya Wafilisti. Makaburi hayo, yaliyopatikana eneo la Ashkelon, y...
Wataalamu: Vitamini nyingi haziwafai wajawazito
Wajawazito wamekuwa wakipewa vitamini nyingi mseto Utathmini mpya wa wataalamu umedokeza kwamba tembe za vitamin mseto zinazopewa wa...
DOKTA BAHATI ABADILIKA KUWA MBWA
Daktari katika hospitali binafsi alietambulika kwa jina la BAHATI ARONI MKUMBO amebadilika kuwa mbwa akiwa ofisini katika majukum yake ya ki...
TAMBUA ADHABU ZISIZOSTAHILI KWA MTOTO
Habari mpendwa rafiki na msomaji wa Amka Mtanzania? Natumaini unaendelea vema na shughuli za ujenzi wa taifa. Karibu katika makala yetu ya l...
Tatizo la Ndoa za utotoni Tanzania kukoma
Wasichana wamejikuta wakipata madhara ya ndoa za utotoni na kuhatarisha maisha yao Mahakama kuu nchini Tanzania leo imeidhinisha umri h...
Mamia kupigwa picha za utupu Uingereza
Tunick anasema hiyo ni sanaa halisi Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa...
Ubaguzi wa rangi: Mnigeria auawa Italia
Ubaguzi wa rangi: Mnigeria auawa Italia Polisi nchini Italia wamemtia mbaroni mwanamme mmoja anayeshukiwa kumpiga hadi kufa mhamiaji...