0

Baada ya kusahau nywila(password) ya kadi yangu ya kiotomotela(ATM) nikaamua kukaa mgahawani (restaurant) jirani na kilipo kiotomotela (ATM) na kuagiza vibanzi (chips) vikavu na sharubati (juice) baridi sana! Nikiwa nasubiri kuletewa nikafungua tarakilishi mpakato (laptop) na kujaribu kufungua diski mweku (local disk) iliyogoma kufunguka kwa wakati huo. Nikafungua diski tepetevu (floppy disk) na kukuta imevamiwa na mtaliga(virus). Nguvu ikaniishia, nikashindwa hata kushika wala kupalaza kisharazio(cursor) cha tarakilishi yangu. Siku yangu ikaishia hapo na nikaishia kusahau hata vibanzi na sharubati nilivyoagiza.

Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia??
(A). Ndio, (B). Hapana.!

R.I.P KISWAHILI

Vipi~ *vepe*

Nini~*Nene*

Asante~*tantee*

Powa~*pouwaa*

Oyaa~*OI*

Fresh~*fuleshi*

Mama~*bi mdashi*

Baba~*mzee*



MISEMO SASA

rafikiyangu~*damu yangu*

U naongea sana~*mbona poovu*

Twende zetu~*twenzao*

Potezea~*vungaa*

Kizuri~*mubashara*

Mida yakukesha~*mida yawanga*

Nnanjaa sana~*nnaubao kisenge*


CHAKULA JE

Ugari~*nguna,dongo*

Ubwabwa~*Cheka nawatoto,kipunje*

Mahalage~*mboga yataifa*

Dagaa~*misumali*

Matembele~*matenyuma*

Sunga~*klolokwini*

Nyama~*mnofu*

Ukoko sasa~~~~*sura yamwisho,fogo,kapeti,funga kazi,chomachoma tumbo,ngenge,staffu*

?R.I.P KISWAHILI🤣🤣🏃🏻🚶🏃🏻🚶🏃🏻🚶

Post a Comment

 
Top