👉Mwili wako sio Maonesho, kila mwanaume auone.
👉Mwili wako sio Mdoli kila mwanaume Auchezee.
👉Mwili wako sio dampo, upokee kila uchafu wa mwanaume.
👉Mwili wako sio Mali ya umma kila mwanaume akutumie.
👉Mwili wako sio kiburudisho, kila mwanaume Ajiridhishe.
👉Mwili wako sio pazia la Sebuleni, kila mwanaume Akufunue.
👉Mwili wako sio karanga za kutembezwa mtaani kila mwanaume Akuonje Utamu wako.
🔹Mwili wako ni wa Thamani sana. Mwili wako ndio utu wako.
🔹 Ebu Tunza Mwili wako nao Ukutunze. Uheshimu Mwili wako nao Utakuheshimisha.
🔹Si kila mtu wa kuushika Mwili wako. Usitumie Mwili wako kama kitegauchumi, Usitumie Mwili wako kama dhamana ya kupata vile unavyohitaji.
🔹Usitumie Mwili wako kama Njia ya kupata Mume Atakayekuoa. Kama Mungu amepanga Uolewe utaolewa tu dada yangu hata bila ya kufunua Sketi yako. Muamini Mungu Yeye ndiye aliyeshikilia maisha yako.
🔹Kuna mtu mmoja tu anayestahili kuugusa Mwili wako, kuuona Mwili wako, kuujua Uzuri wako.. Msubiri, Usiwe na Haraka, Mungu atamleta kwako. Endelea Kusubiri.
🔹JITUNZE, JITHAMINI, JIKUBALI NA JIAMINI..!
🔹PIA MUACHE TABIA YA KUBINUA MAKALIO YENU HAKIKA MUNGU ATAWASAIDIA DADA ZANGU..!
Post a Comment