0
Star wa rnb Chris Brown hatafunguliwa tena mashtaka kutokana na kitendo cha kuwafanyia fujo majirani zake nje ya mageti yao na kuwapigia makelele.


Majirani wa Chris Brown miezi miwili iliyopita walilalamika kuwa Chris na marafiki zake walifanya fujo na pikipiki zao za matairi manne na kuwapigia kelele nje ya mageti yao na kuwasababishia usumbufu mkubwa.


Polisi waliitwa eneo la tukio na walipofika tayari Chris alikuwa amerudisha piki piki hizo ndani na hawakuona hizo fujo zozote na baada ya kumaliza uchunguzi hawakuona kosa kwa Chris.

Post a Comment

 
Top